j. Aaron kufanya fashion? Diamond na wimbo wake wa mduara.. Darasa na nyimbo mitandaoni #255 @CloudsFM
Baada ya mtangazaji Adam Mchomvu kutangaza kwenda China kwa ajili ya kujifunza mambo ya ubunifu, Dj. Aaron wa Clouds FM amesema
ameamua kuingia rasmi kwenye mambo ya fashion na kwa sasa anadesign
vitu mbalimbali kama nguo zenye asili ya Tanzania za ‘Aarons Wear’ ambazo anategemea kuja kufanya uzinduzi rasmi muda mfupi.
Diamond amesema ameamua kufanya video na director Hanscana
baada ya kupenda kazi alizozifanya na kuamini atafanya kitu kizuri na
kweli ikawa hivyo video ambayo inafanya vizuri kwenye mitandao kwa
kuangaliwa na watu wengi.
POSTED BY HASSAIN MTUNDA
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni