Kwenye safari ya mwisho ya Marehemu Abdul Bonge, alivyozikwa Morogoro.
Tip Top Connection
ni kundi ambalo limeishi muda mrefu kwenye muziki wa Bongo Fleva,
safari hiyo imekuwa ya mafanikio makubwa kutokana na usimamizi wa
Marehemu Abdul Bonge.
Kundi hilo limepata pengo kumpoteza kiongozi huyo muhimu, safari yake ya mwisho duniani ilikuwa ni leo, wasanii, ndugu, jamaa na marafiki na watu wengine wameshirikiana kwenye mazishi ya Abdul Bonge ambayo yamefanyika leo Morogoro.
REST IN PEACE
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni